KATIKA MAISHA NA HAWAONI JAWABU.
- Unatumia madawa ya kulevya,yameshaanza kukudhoofisha na unahitaji kuacha lakini unashindwa?
- Umeambukizwa ukimwi,na mara baada yakujua mipango yako yote ghafla imeyeyuka?
- Wewe ni msichana umeteleza na kupata ujauzito,wazazi wako hawataki kukuona,shuleni umefukuzwa na jamii inayokuzunguka inakuona wewe ni muhuni/malaya na unatamani kutoa mimba au kujiua?
- Labda una watu wanakutegemea na umetafuta kazi umekosa?
- Unataka kuwa na kiwango fulani cha elimu,lakini kila ukifanya mitihani unafeli?
- Wewe ni mfanyabiasha,lakini biashara yako haikui wala faida haionekani
BLOG HII ITAKUTAFUTIA WATU WALIOPITIA HALI KAMA YAKO,NA KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE WAKATOKA KATIKA HALI HIYO.usiache kutembelea blog hii